Tuesday 16 September 2014

Wanafunzi wa shule za sekondari za wilaya ya Kyerwa,Missenyi na Ngara wapokea bendera ya Jumuiya ya Africa Mashariki.

 
 Wanafunzi   wa sekondari  wa shule ya wasichana  Baramba iliyopo wilayani  Ngara wakipandisha bendera ya Jumuiya ya  Africa  Mashariki.

 
Wanafunzi wa shule ya sekondari  ya  Bugene wakipokeaa   bendera ya jumuiya ya Africa Mashariki

Wanafunzi   wa Bunazi Sekondari iliyopo wilayani Missenyi wakiwa katika picha ya pamoja wakipokea  bendera kutoka kwenye jumuiya ya Africa mashariki

Hao wa ni wanafunzi  ni wa shule  ya sekondari ya Kaisho iliyopo  wilayani  Kyerwa ikumbukwe shule nne zimeteuliwa kutoa elimu ya hamasa juu

No comments:

Post a Comment